Thursday, August 18, 2011

Kamati ya Maandalizi ya Sherehe ya kuwaaga Wahitimu wa Kiislamu Chuo cha Kumbukumbu ya Mawlimu Nyerere. Mahafali hayo yaliandaliwa na Jumuiya wa Waislamu Chuo hapo.

Kutoka kushoto ni Doto Ramadhani kutoka Benki ya NBC kitengo cha huduma za kibenki za kiislamu, Amiri wa Dawa Jumuiya ya Kiislamu MNMA, Afisa Habari wa Jumuiya Mbaruku Mchopanga na Amiri wa Jumuiya Mganga Muhidini.

No comments:

Post a Comment