Meja wa Masoko wa Benki ya NBC katika kitengo kichohusika na Benki ya kiislamu Zahir Salim akitoa mada ya kutumia mfumo wa kibenki wa kiislamu.
Baadhi ya Wahitimu wakisikiliza kwa Makini mada zilizokuwa zikitolewa,
Naibu katibu wa Jumuiya ya Kiislamu MNMA Salum kilingo na Mweka hazina wa Jumuiya hiyo Sada Haji Wakasi wakijadili jambo nje ya ukumbi wa jengo la utamaduni ambapo mahafali yalifanyika.
Baadhi ya Wahitimu na Wageni wakipata Chakula
Amiri wa Tamsya Mkoa wa Dar es Salaam na Katibu wa Jumuiya Selemani Msuya wakisiliza kwa makini moja ya mada zilizowasilishwa.
No comments:
Post a Comment